IKIWA ni mwaka mmoja tangu Watanzania walipofika kwenye vituo vy kupigia kura na kumchagua rais wanayemtaka kwa mujibu wa katiba na sheria ya nchi, aliyekuwa mgombea urais kwenye kinyang’anyiro hicho akiwakilisha UKAWA kupitia tiketi ya CHADEMA, Mhe. Edward Ngoyai Lowassa ameandika maneno haya kwenye akaunti yake wa twitter.
“Siku ya Leo, tarehe 25 Oktoba, Mwaka jana, 2015, Watanzania waliamua, naheshimu sana Na tutaendelea kuwa PAMOJA. Mungu awabariki wote.”
Siku ya Leo, tarehe 25 Oktoba, Mwaka jana, 2015, Watanzania waliamua, naheshimu sana Na tutaendelea kuwa PAMOJA.
Mungu awabariki wote. pic.twitter.com/MgbapIOAcj— Edward Lowassa (@edwardlowassatz) October 25, 2016
Comments are closed.