The House of Favourite Newspapers

Azam FC yaichapa Bidvest Wits 4-3, yasonga mbele

0

azam fc
TIMU ya Azam FC leo imefanikiwa kusonga mbele katika michuano ya Kombe la Shirikisho baada ya kuifunga Bidvest Wits ya Afrika Kusini kwa mabao 4-3 kwenye mchezo uliopigwa kwenye Uwanja wa Chamazi jijini Dar.

Mabao ya Azam FC yamepachikwa kimiani na Kipre Tchetche aliyefunga mabao matatu ‘hat trick’ na moja likapachiwa na nahodha wa timu hiyo, John Bocco.

Katika mechi ya kwanza, Bidvest ilipoteza kwa mabao 3-0 ikiwa nyumbani Johannesburg. Safari hii imepata mabao matatu lakini ikashindiliwa mengine manne. Maana yake Azam FC imevuka kwa jumla ya mabao 7-3.

Kikosi cha Azam FC kilichoanza dhdi ya Bidvest Wits leo
4 Shomari Kapombe
14 Ramadhani Singano
13 Aggrey Morris
5 Pascal Wawa
6 Erasto Nyoni
29 Michael Bolou
23 Himid Mao
8 Salum Abubakar
19 John Bocco (c)
10 Kipre Tchetche
AKIBA
1 Mwadini Ally
12 David Mwantika
16 Jean Mugiraneza
18 Frank Domayo
17 Farid Mussa
11 Didier Kavumbagu
9 Allan Wanga
4 Shomari Kapombe
14 Ramadhani Singano
13 Aggrey Morris
5 Pascal Wawa
6 Erasto Nyoni
29 Michael Bolou
23 Himid Mao
8 Salum Abubakar
19 John Bocco (c)
10 Kipre Tchetche

AKIBA
1 Mwadini Ally
12 David Mwantika
16 Jean Mugiraneza
18 Frank Domayo
17 Farid Mussa
11 Didier Kavumbagu
9 Allan Wanga

Leave A Reply