Video: Rais JPM Afungua Semina Halmshauri Kuu ya CCM Taifa
LEO Alhamisi, Desemba 12, 2019, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), amefungua Semina ya Wajumbe wa Halmshauri Kuu ya Taifa (HKT) ya CCM jijini Mwanza.
Lengo la Semina hiyo ni kuwazatiti wajumbe na Maarifa yahusuyo mbinu, mikakati na mipango ya kuendelea kuwaletea watanzania Maendeleo.