Lowassa, ambaye alikaa kituoni hapo kwa takribani saa tatu anaweza kuwa kiongozi wa kwanza aliyewahi kushika nafasi ya Waziri Mkuu kuhojiwa na polisi.
Mara baada ya kukamatwa, walipelekwa katika Kituo Kikuu cha Polisi ambako baadhi ya wajumbe na wabunge waliwafuata na kuwasubiri nje ya kituo hicho kujua hatima yao.
Alisema baada ya kuachiwa kwa dhamana, viongozi hao wametakiwa kuripoti kituoni hapo leo.
Hatua hiyo ilikuja huku jeshi hilo likiwa limepiga marufuku mikutano ya hadhara na maandamano kufuatia uamuzi wa Rais John Magufuli kuzuia shughuli za kisiasa hadi 2020.
HAKUNA ALIYE JUU YA SHERIA, BILA SALAM SOTE TUNAJUA BILA USALAMA HAKUNA MTU YOYOTE ATAEKUWA NA UWEZO WA KUFANYA CHOCHOTE AU JAMBO LA MAENDELEO, PIA KUMBUKENI WAHARIFU WENGI HUJIINGIZA KTK FUJO. MIKUTANO NA MAANDAMANO YASIYO NA MAADILI KWA NIA YA KUFANYA UHALIFU. TUSISAHAU TANZANIA NI YETU SOTE, HATUNA PENGINE PA KWELI, FUJO ZA UKUTA N. K NI KWA FAIDA YA NANI?? KAMA KUNA WATU WANATUMIWA NA MATAIFA YA NJE, TUNAWAOMBA MUACHE MARA MOJA, TUACHIENI TANZANIA YETU ILIYO SALAM A PA HAMKATAZWI KUHAMA NC I, KATAFUTENI URAIA SEHEMU ZINGINE, MAANA HAINGII HAKILINI MTU MTANZANIA MZALENDO WA KWELI AANDAE FUJO KWA VISINGIZIO VYA DEMOKRASIA. TUACHE UBABAISHAJI HAUWEZI KUTUFIKISHA POPOTE KATIKA DUNIA HII LEO, PA TUSISAHAU SOTE TUNAJUA JUKUMU LA KUJENGA MAADILI NA NIDHAMU BORA KWA VIJANA WA NCHI YETU, MIPANGO KAMA YA UKUTA N. K, JE INAWAFUNDISHA NINI VIJANA NA WANANCHI KWA JUMLA KTK KUWAJENGA KI MAADILI ? HIVI MNAJISAHAU KUNA SIKU NCHI ITATAWALIWA NA CHAMA KINGINE, KWA JINSI HII KILA MTU ANAWAJIBIKA KUJENGA TAIFA LENYE MAADILI MEMA, NA MAADILI MEMA NDIYO KILA KITU KTK USTAWI WA TAIFA LOLOTE DUNIA, SASA UNAPOTENGENEZA TAIFA LENYE MLENGO WA UOVU NI KWA FAIDA YA NANI? HEBU TUTULIE TUJITASIMINI UPYA, NIDHAMU HAMPO SAHIHI KABISA KWA HAYO MNAYOYAFANYA, MNASHABIKIWA NA WATU WANAOPENDA MAASI TU KWA FAIDA ZAO BINAFSI JAMBO LA HATARI SANA, HATA KWA NYINYI WENYEWE.