Mbongo Anaswa na Unga wa Bil. 10
Herry Mussa Yangealiyenaswa na ‘unga’.
Stori: Makongoro Oging’, UWAZI
DAR ES SALAAM: Hii ni funga kazi sasa! Kuna habari kwamba, Mtanzania anayejulikana kwa jina la Herry Mussa Yange (42), amenaswa na polisi nchini Botswana akiwa na madawa ya kulevya ‘unga’ yenye thamani ya shilingi bilioni 10.5, Uwazi limefukunyua.
Polisi wakikagua mzigo huo.
- ILIVYOKUWA
- Alikuwa akiusafirisha kwa lori (semitrela).
- Alitokea DRC na wenzake wawili.
- Avuka mipaka ya nchi kadhaa, akamatiwa Sauzi.
Shehena ya unga aliyokamatwa nayo.
- Polisi wa Sauzi wamstukia, watumia mbinu za Kiintelijensia kumnasa.
- Akutwa na mifuko 141 ya Unga aina ya mandrax, paketi 1,000 ndani yake.
- Wafunguliwa mashtaka hukohuko.
- Uwazi lanena na Kamanda wa Polisi wa Kitengo cha Kupambana na Kuzuia Madawa ya Kulevya Tanzania, ACP Mihayo Msikhela, alikiri kupokea taarifa hizo.
- Kamanda wa Viwanja vya Ndege Tanzania, ACP Martin Otieno yeye anasemaje kuhusu Mtanzania huyo kama alipitia katika viwanja vya nchini kuelekea DRC?
KUFAHAMU YOTE HAYA NA MENGINE, NUNUA GAZETI LA UWAZI, LEO April 26, 2016
KUNUNUA NA KUSOMA MAGAZETI YA GLOBAL PUBLISHERS ONLINE, INGIA HAPA==>VODACOM M-PAPER APP
*********
JIUNGE NA SOCIAL MEDIA ZETU:
KWA HABARI ZA KITAIFA, KIMATAIFA, MASTAA NA MIKASA YA KUSISIMUA
INSTAGRAM: @Globalpublishers
TWITTER: @GlobalHabari
FACEBOOK: @GlobalPublishers
SUBSCRIBE YOU TUBE: GlobalPublishers
GLOBAL TV ONLINE: www.globaltvtz.com
HADITHI ZA KUSISIMUA NA MBINU ZA UJASIRIAMALI, ERIC SHIGONGO FACEBOOK PAGE: @shigongotz