The House of Favourite Newspapers

Mlipuko Waua 80 Afghanistan

0

1 2 3 4 5 6 7 8

Wizara ya afya  nchini Afghanistan imesema takribani watu 80 wameuawa na zaidi ya wengine 150 kujeruhiwa katika shambulio la kujitoa mhanga lililofanyika kwenye Mji Mkuu Kabul.

Baadhi ya taarifa zinasema kulikuwa na milipuko miwili.

Shambulio hilo linaonyesha kuwa lililenga maandamano ya maelfu ya watu kutoka jamii ndogo ya Hazara, ambao hujikuta wakidhalilishwa na kufanyiwa ukatili.

Walikuwa wakiandamana kupinga mpango wa serikali wa kuhamisha umeme kutoka kwenye majimbo yao katikati ya nchi.

Leave A Reply