Mwigulu: Nape Sio Jambazi…
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba ameandika ujumbe katika mitandao ya kijamii kufuatia ishu ya aliyekuwa Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo, Nape Nnauye kutolewa bastola na mtu anayedaiwa kuwa ni askari kanzu.
Mwigulu ameandika ujumbe huo kulaani kitendo cha kutoa bastola hadharani
Kwa undani zaidi itazame Video Hapo chini nimekuwekea…
NA HIKI NDICHO ALICHOKIZUNGUMZA
Comments are closed.