NGOMA MPYA : Sauti Sol Wamvuta Vanessa Mdee Kwenye ‘Kamasutra’
Kundi bora la muziki Afrika Mashariki toka Kenya, ‘Sauti Sol’ wametupia macho Tanzania na kumchukua mwanadada Vanessa Mdee kwenye wimbo wao ‘Kamasutra’
Wimbo wa Kamasutra umetengenezwa na Sauti Sol wenyewe.Download baada ya kusikiliza kama umeupenda.
Tumekuwekea hapa video mpya zinazofanya vizuri kwa sasa, ingia Global App na kama huja-install, tumekuwekea link hapa chini:👇👇👇👇
Android ===>GooglePlay
iOS ===>AppStore
Isikilize hapa.
Comments are closed.