The House of Favourite Newspapers

Oya mwana Kobe hapimwi homa!

0

ewe-copyInakuwaje masela na maduu wote kwa kitaa ya kona mbaya? Ni waya? Laifu linakwendaje majamaa? Kipande hii mambo flengaflenga haina kwere aisee arifu. Ama nene? Kaa huku mtu mzima nimeshatimba kwa jamvini kukupa maujanja. Welikamu kwa sana wanangu wenyewe!
Wana dizaini kama laifu limekaba kinomanoma dheni hakuna pa kuchomokea. Sasa bana unaambiwa wana wapo kitaa f’lani hivi cha kati.

Unaambiwa huku na huko mbebiz mmoko mkare aibu akaibuka kwa jembe letu kitaa. Mazee dizaini aliyokuwa ametupia hata msela mwenyewe aliyetimbiwa na shori alikuwa anaona soo ileile.

Unaambiwa manzi alikuwa ametupia kitu cha hizi skini jinsi zao au manunda wangu wanaita soksi bati kama hiyo haitoshi basi ilikuwa imechanikachanika kwa asilimia kama sabini na tano hivi. Sasa bana katika situwesheni kama hiyo si yule mbebiz akawa anasababisha sheedah kwa wanangu wanaochili kwa kitaa wakila tu wepesi?
Ebana chama langu wanakuteli kuwa mambo f’lani ya shori yalikuwa openi kinoma na haikumhitaji kichwa kupiga chabo kozi mpango mzima ulikuwa unaonekana pleini.

Ishu ilikuwa kumtoa yule mkiksi kitaa na kuzama naye kwa kitu cha daladala kwa machalii wanaita kifodi au kipanya. Unanyaka kwa nini ilikuwa ishu kwa msela kukrosi na shori kwa striiti? Mwana ni mkidi wa pasta dheni amekulia kwenye maishu ya chachi so ukimmiksi na yule mtoto mzuri mambo yakawa hayaendi kabisa aisee arifu. Yaani ni kama mafuta na maji kachala wangu. Si unajua zile? Eti mwana akawa anajidai kumpima kobe homa, ishu ambayo haiwezekani!
Kwenye kitu cha daladala vichwa vyote macho kodo kwa yule shori huku minong’ono kwa sana. Eti mazee maraia walikuwa wanasema walihisi yuke manzi ni kichaa au amepoteza kozi nguo zilikuwa zimechanika.

Bati huku na huku wanangu wengine wakaanzisha kitu cha diskasheni kuwa ile ni fasheni. Sasa masela fasheni halafu sistaduu anakuwa uchi inakuwaje? Huko si ndo kujitoa kitu cha ufahamu? Kachala wangu siyo sekreti kitaani hayo mapamba mepesi yanazingua wana hatare! Kama vepe tuyapotezee chama letu wanakwetu.

Mmenisoma makachaa? Kama vepe tuendelee kukaza mabingwa wangu. Sii yuu neksti wiki!

Leave A Reply