The House of Favourite Newspapers

Rais JPM atengua uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji TIC

0

Julieth Kairuki

Aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji (TIC), Bi. Juliet Kairuki.

==>Rais John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji (TIC), Bi.Juliet Kairuki kwa kosa la kutokuchukua mshahara wa serikali tangu alipoajiriwa mwezi Aprili, 2013 hadi leo.

==>Iwapo atakuwa tayari kufanya kazi na serikali, Bi. Kairuki atapangiwa kazi nyingine.

==> Mchakato wa kumpata mkurugenzi mpya kuanza mara moja

Taarifa kamili hii hapa;

TIC
==>Ifuatayo ni barua ya uteuzi wa Bi. Juliet Kairuki kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji (TIC) iliyotolewa na Ikulu Jumatatu ya Aprili 22, 2013.

JK na Julieth

Leave A Reply