Ratiba ya Kombe la FA Ipo Hapa, Yanga Na Simba Zimebaki Dar
Droo ya FA imechezwa leo Desemba 4, 2019 ikiwa ni hatua ya 64 bora mechi zinatarajiwa kuchezwa kuanzia Desemba 20-22.
Timu zitakuwa namna hii:-
Mbuni v KMC
Alliance v Transti Camp uwanja wa Nyamagana.
Ndanda v Cosmopolitan uwanja wa Nangwanda Sijaona.
Milambo v Ruvu Shooting FC uwanja wa All Hassan Mwinyi.
Mbao FC v Stand United uwanja wa CCM Kirumba.
Biashara United v Nyamongo uwanja wa Karume.
Mawenzi FC v Mtwivila City Uwanja wa Jamhuri
Morogoro.
Kitayosa FC v Mpwapwa United uwanja wa Mpwapwa.
Friends Rangers v Talinega FC uwanja wa Lake Tanganyika, Kigoma.
Kasulu Redstars v Ihefu FC uwanja wa Sokoine.
Tofo Africa v Gipco uwanja wa CCM Kirumba.
The Might Elephant v Mashujaa FC.
Jeshi Worries v Dodoma FC uwanja wa Jamhuri Dodoma.
Majimaji FC v Pamba FC.
Area C v Panama FC.
Gwambina FC v Mbeya Kwanza.
Geita Gold v Pan Afrika uwanja
Sahare All Stars v Njombe Mji
Rufiji United v Iringa United
Lipuli FC v Dar City uwanja
Kagera Sugar v Rufiji United uwanja wa Kaitaba
Tanzania Prisons vs Mlale FC uwanja Sokoine Mbeya.
Mtibwa Sugar v Rhino Rangers uwanja wa Jamhuri Morogoro.
Simba SC v Arusha FC uwanja wa Uhuru, Dar
Yanga vs Iringa United uwanja wa Uhuru, Dar.
Coastal Union v African Sports Uwanja wa Mkwakwani.
Namungo FC v Green Warriors uwanja wa Majaliwa Complex.
JKT Tanzania v Boma FC uwanja wa Meja Isamuhyo, Mbweni.
Azam FC v African Lyon uwanja wa Azam Complex.
Desemba 20 kuanza na timu 32 bora