The House of Favourite Newspapers

Ratiba ya Kombe la FA Ipo Hapa, Yanga Na Simba Zimebaki Dar

0

Droo ya FA imechezwa leo Desemba 4, 2019 ikiwa ni hatua ya 64 bora mechi zinatarajiwa kuchezwa kuanzia Desemba 20-22.

Timu zitakuwa namna hii:-

Mbuni v KMC

Alliance v Transti Camp uwanja wa Nyamagana.

Ndanda v Cosmopolitan uwanja wa Nangwanda Sijaona.

Milambo v Ruvu Shooting FC uwanja wa All Hassan Mwinyi.

Mbao FC v Stand United uwanja wa CCM Kirumba.

Biashara United v Nyamongo uwanja wa Karume.

Mawenzi FC v Mtwivila City Uwanja wa Jamhuri
Morogoro.

Kitayosa FC v Mpwapwa United uwanja wa Mpwapwa.

Friends Rangers v Talinega FC uwanja wa Lake Tanganyika, Kigoma.

Kasulu Redstars v Ihefu FC uwanja wa Sokoine.

Tofo Africa v Gipco uwanja wa CCM Kirumba.

The Might Elephant v Mashujaa FC.

Jeshi Worries v Dodoma FC uwanja wa Jamhuri Dodoma.

Majimaji FC v Pamba FC.

Area C v Panama FC.

Gwambina FC v Mbeya Kwanza.

Geita Gold v Pan Afrika uwanja

Sahare All Stars v Njombe Mji

Rufiji United v Iringa United

Lipuli FC v Dar City uwanja

Kagera Sugar v Rufiji United uwanja wa Kaitaba

Tanzania Prisons vs Mlale FC uwanja Sokoine Mbeya.

Mtibwa Sugar v Rhino Rangers uwanja wa Jamhuri Morogoro.

Simba SC v Arusha FC uwanja wa Uhuru, Dar

Yanga vs Iringa United uwanja wa Uhuru, Dar.

Coastal Union v African Sports Uwanja wa Mkwakwani.

Namungo FC v Green Warriors uwanja wa Majaliwa Complex.

JKT Tanzania v Boma FC uwanja wa Meja Isamuhyo, Mbweni.

Azam FC v African Lyon uwanja wa Azam Complex.

Desemba 20 kuanza na timu 32 bora

Leave A Reply