The House of Favourite Newspapers

Rigwaride ra afande- 3

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
Nilivaa haraka sana, nikasimama na kumwamsha ili niondoke bila kutaka senti tano yake…

“We mbaba…mbaba wewe,” nilimtingisha kwa upole.
“Ee…ee! Unasemaje?” alishtuka kutoka usingizini. Kabla sijamwambia madhumuni ya kumwamsha, akanishika mkono, akanivutia kitandani, nikaanguka puu! Akaanza tena!
ENDELEA SASA…

Nilijitahidi kupiga kelele lakini akaniziba midomo ili nisisikike nje…
“Lengo lako nini sasa? Watu wasikie waseme nakubaka si ndiyo? Utakula jeuri yako sasa.”

Wakati anasema maneno hayo, alikuwa akiendelea na zoezi lake na jasho chapachapa maana feni ya chumbani ilikuwa inatoa upepo wenye moto badala ya baridi. Ilibidi nivumilie kwa muda.

Alipomaliza, alitoka kitandani, akaenda kutungua pensi kwenye msumari na kuingiza mkono mfukoni. Alitoa noti nyekundu kadhaa, akanipa mkononi huku akisema…
“Usije ukasema mimi ni fisadi. Hizi zitakusaidia kwa siku mbili tatu, sawa?”
Niliitika sawa haraka sana maana nilitamani kutoka mle chumbani ili nikajue zile noti ni shilingi ngapi!

“Si naweza kwenda sasa?” nilimuuliza huku nikimuangalia kwa macho ya kulegea. Nilikuwa nimechoka sana. Kiu yote ilikatika!

“We nenda, angalia usibakwe lakini,” aliniambia utadhani ni usiku.
Nilipotoka, nilipita kwenye korido haraka sana. Mbele nikikaribia kutoka nje, nikakutana na polisi anaingia, nikashtuka. Nikasema mwenyewe moyoni hii nyumba wanaishi mapolisi nini?

“We unatoka wapi?” yule polisi aliniuliza kwa sauti yenye amri…
“Kule kwa yule…”
“Kule kwa yule nani?”
“Mi simjui jina.”

“Unatoka kwa mtu usiyemjua jina? Inawezekana kweli?”
“Kweli tena.”
“Chumba gani, twende uoneshe,” aliniambia huku akinishika mkono kwa nguvu. Niliwaza kwamba, huenda nikimtambulisha yule mbaba, inaweza kuwa soo kwake maana sikujua huyu ni nani kwake…

“Mi sitaki bwana,” nilisema kwa sauti ya chini…
“Wewe utakuwa unatoka kuiba humu ndani,” alianza dalili za kunibambika kesi sasa…
“Hapana! Natoka kwa mtu wa humuhumu ndani, kweli tena.”

Alizidi kuning’ang’ania, akaniinamia ili kuniambia kitu kwa siri…
“Sikiliza…mimi nakutaka, nikupe shilingi ngapi?”

“Mimi sitaki,” nilisema kwa sauti iliyolegea, hasa baada ya kusikia nipewe shilingi ngapi. Nilihisi huenda ni mipango ya wote wawili, huyu na yule mbaba niliyetoka chumbani kwake…

“Hakuna atakayejua, nitakuingiza kwa siri na kukutoa kwa siri,” alisisitiza kwa sauti iliyotua juu ya sikio langu la kushoto. Nilijikuta miguu ikitembea yenyewe mpaka chumbani kwake. Akafunga mlango.

Tulisimama tukikodoleana macho. Aliniangalia kwa macho yenye uchu mkubwa wa mapenzi maana alikuwa akiyatembeza macho hayo kuanzia miguuni hadi kichwani huku akiwa kama anataka kusinzia…

“Binti umeumbwa vizuri sana. Umezaliwa na nani?”
“Si na mama,” nilimjibu kama niliyeshangazwa na swali lake…
“Hakuwa na baba?”

“Ah! Mi naondoka,” nilimwambia sauti ya kukasirika kwa chini. Lakini lengo langu halikuwa kuondoka bali ni kumsikia atanipa shilingi ngapi…
“Sasa nikupe ngapi? Si useme ili na mimi nijue moja tu,” aliniuliza.
“Elfu hamsini nataka,” nilimjibu kama vile jibu hilo nilitoka nalo nyumbani.

Aliingiza mkono mfukoni na kutoa noti nyingi, akahesabu hamsini tu na kunipatia huku akinishika mkono na kunikalisha kitandani. Hapo sasa nilikuwa najua nina zaidi ya hamsini, maana zile za yule mbaba nilikuwa sijazihesabu.

Nilijichojoa nguo mwenyewe huku nikimwangalia kwa macho ya kulegea kimahaba. Afadhali ya huyu ana sura ya kuvutia kuliko yule mbaba, nilijisemea mwenyewe moyoni.
Nilipomaliza nguo ya mwisho akanisogelea karibu kabisa, akajishika kiuno. Nikajua lengo lake ni nimvue nguo, nikafanya hivyo. Nilimchojoa moja baada ya nyingine mpaka akawa kama alivyozaliwa, wote tukawa sawa, nikapanda mwenyewe kitandani.

Na yeye alifuatia, akaja huku akihemuka tayari! Alinishikashika kama mara tatu tu kisha akaanzisha mechi ya nguvu. Nilikuwa naogopa asije kuwa kama yule wa dakika chache kamaliza, dakika chache kamaliza.

Huyu sasa alianzisha shughuli mpaka ikawa kero. Wakati anaanza nilisikia mtangazaji wa kwenye redio ya jirani akianza kusoma taarifa ya habari ya saa saba mchana. Akamaliza, yakaja matangazo ya vifo, akamaliza, yakafuatia matangazo madogomadogo, yeye bado tu!

Ilifika mahali nikahisi anataka kunikomoa kwa ajili ya ile fifte yake aliyonipa. Na vile sikuwa na kiu ya kivile, ni tamaa ya pesa tu, nikasema nimrudishie pesa yake lakini moyoni nikajiona mjinga, yaani mechi ianze, ifike katikati halafu nimrudishie pesa zake, haiwezekani, nikakomaa…

“Bwana mimi nachelewa sasa,” nilijaribu kutumia ujanja huo…
“Sasa hivi tu,” alisema haraka.

Tulikuwa tunatokwa jasho mpaka basi. Godoro lote lilijaa jasho. Alikuwa akiendelea na mechi huku akijifuta jasho mwenyewe. Nilianza kuhisi kifo kinanijia, maana sasa niliishiwa nguvu na kushindwa kufanya lolote, akanitahadharisha…
“Uvivu wako unaweza kusababisha tukaondoka na giza,” alisema, moyoni nikamkatalia. Afike na giza amekuwa nani yeye..!

“Nimechoka bwana,” nilisema huku nikianza kujitahidi tena ili nione kama atamaliza…
“Ti! Ti! Ti! Ti! Ti! Tiii! Hivi sasa ni saa nane kamili mchana,” mtangazaji wa kwenye ile redio ya nyumba ya jirani alisema…
Je, nini kiliedelea hapo? Usikose kusoma kweli Risasi Jumamosi ijayo.

Comments are closed.