Sakata la mgogoro wa Stand United ni hatari sana asee
Mgogoro wa nani zaidi kati ya pande mbili zinazopigania utawala wa timu ya Stand United ya Shinyanga limezidi kuchukua sura mpya ikiwa ni siku chache tu baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kutangaza kuumaliza utata huo.