Uchaguzi wa kumpata Meya wa Ubungo umeahirishwa leo hadi hapo itakapotangazwa tena baada ya madiwani wa Chadema na CUF kususa wakidai CCM imeongeza wajumbe.
Madiwani hao wamedai wajumbe wawili wa UKAWA wamehamishwa ili kurahisisha ushindi kwa CCM.
Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.
Comments are closed.