‘Wakuone’ Ni Wimbo wa Ben Pol Kwa Mpenziwe? Usikilize Hapa!
‘WAKUONE’ ni wimbo mpya wa Ben Pol ambao umezua maoni kibao kutoka kwa baadhi ya mashabiki wakisema kwamba kuna uwezekano amemuandikia mpenzi wake mpya raia wa Kenya, ‘Anerlisa’.
Audio imetengenezwa na Daxo Chali. Unaweza ukau-download baada ya kuusikiliza.
Tumekuwekea hapa video mpya zinazofanya vizuri kwa sasa. Ingia Global App na kama huja-install, tumekuwekea link hapa chini:👇👇👇👇
Android ===>GooglePlay
iOS ===>AppStore
Isikilize hapa.
Comments are closed.