The House of Favourite Newspapers

Yamoto band kukinukisha Marekani

0

YAMOTO-BAND-2Wasanii wa Yamoto Band.

Said ally, Dar es Salaam

WASANII wa Yamoto Band wanatarajiwa kukinukisha nchini Marekani hivi karibuni kwa kufanya shoo tatu kali.

Mmoja wa waandaji wa shoo hizo, Dickson Mkama, ambaye pia ni mmiliki wa Kampuni ya DMK Global Promotions alisema Yamoto watafanya shoo katika
maeneo matatu ikiwemo Kansas City, Washington DC na Houston Texas.

“Yamoto watakuwa na shoo Novemba 27, Kansas City, Desemba 5 watafanya Washington DC na shoo ya tatu itakuwa Houston Texas ambapo wamejipanga kuwarusha kikweli kweli mashabiki wao,” alisema DMK moja kwa moja kutoka Marekani.

Band hiyo ambayo imejipatia umaarufu ndani na nje ya nchi na kutamba na nyimbo zake kadhaa kama Cheza kwa Madoido, Niseme, Najuta na nyingine kibao.

Leave A Reply