Staa wa Bongo Flava na Rais wa Wasafi, Diamond Platnumz.
Staa wa Bongo Flava na Rais wa Wasafi, Diamond Platnumz, siku chache baada ya kutumbuiza kwa ustadi mkubwa kwenye tuzo za Shirikisho la Soka Afrika (CAF) jijini Abuja nchini Nigeria, amealikwa tena kutumbuiza kwenye ufunguzi wa Kombe la Mataifa ya Afrika 2017 (AFCON 2017), Januari 14 nchini Gabon.
GABON!!! You know we gat to make a World History on the 14th January right?? See you this this Coming Weekend then…👈 #WcbWasafi pic.twitter.com/2YPxjYMxe3
— Chibu Dangote (@diamondplatnumz) January 7, 2017
Comments are closed.