HabariKitaifa Uwanja wa Ndege Washambuliwa Mogadishu Last updated Apr 16, 2017 0 Share TAARIFA kutoka Somalia zinaeleza kuwa mizinga kadha imerushwa dhidi ya uwanja wa ndege katika mji mkuu, Mogadishu. Shuhuda wa tukio hilo, anasema skari wa usalama wa Somalia, walipambana kwa risasi, na washambuliaji. MABOMUMlipukoMogadishuSomalia 0 Share