Usiku wa kuamkia leo ndani ya ukumbi wa Dar Live ulioko Mbagala-Zakhiem, jijini Dar es Salaam, ambako kulikuwa na shoo ya taarab, mwanamuziki Hadija Yusuf alitokea jukwaani kuwasapoti wanataarab wenzake huku akishindikizwa na wacheza Kibao Kata.
PICHA NA RICHARD BUKOS/GPL