The House of Favourite Newspapers

Magauni Yamtesa Pam D

0
Pamela Daffa ‘Pam D’

MSANII wa Bongo Fleva Pamela Daffa ‘Pam D’ amekiri kutamani kuvaa magauni kama wanawake wengine ila bado anapata shida kwa mazoea ya kuvaa nguo za kiume.

Pam D akichonga na Full Shangwe alisema kuwa, anapata wakati mgumu kuanza kuvaa magauni kwa sababu amezoea nguo za kiume ambazo zinamfanya aonekane msela.

 

“Napata shida kubadilisha mtindo wa mavazi, kutoka kwenye nguo za kisela na kuvaa magauni kama wanawake wengine ila naamini nitazoea tu,”alisema Pam D.

Usipitwe na Matukio, Install App Yako ya Kijanja na Namba Moja Tanzania ya Global Publishers

Android Bofya ===> Google Play

iOS Bofya ===>Apple Store

MAGAZETI: Siri Nzito ya Ushindi wa Makinikia Hii Hapa!

Leave A Reply