The House of Favourite Newspapers

Nandy: Dogo Janja Angemuoa Uwoya Ningealikwa Tu!

0
Staa wa Bongo Fleva, Faustina Charles ‘Nandy’.

STAA wa Bongo Fleva, Faustina Charles ‘Nandy’ amefunguka kuwa, kama msanii mwenzake, Abdulaziz Chande ‘Dogo Janja’ angemuoa msanii wa Bongo Muvi, Irene Uwoya ni lazima angealikwa kutokana na ukaribu waliokuwa nao.

 

Akipiga stori na Star Mix, Nandy alisema kipindi hiyo ishu inatokea alikuwa kwenye ziara ya kimuziki lakini licha ya hivyo ni wazi angejulishwa.

“Kwa kuwa ishu imebainika ni kiki sioni haja ya kuwalaumu wawili hao kwa kuwa naamini hawakukurupuka kufanya hivyo. Lakini kama ingekuwa kweli ningealikwa tu,”alisema.

STORI: MAYASA MARIWATA

Usipitwe na Matukio, Install App Yako ya Kijanja na Namba Moja Tanzania ya Global Publishers

Android ===>Google Play

iOS ===>Apple Store

Leave A Reply