Jinsi Simba Walivyotunguliwa na Kagera Mbele ya JPM
RAIS Magufuli hakuvutiwa na kiwango walichoonyesha Simba jana dhidi ya Kagera na kuongeza kuwa wakiendelea kucheza hivyo hawataweza kuchukua kombe la ubingwa wa Afrika hivyo amewataka wajipange ili waweze kuipeperusha vyema bendera ya Tanzania kimataifa baada ya kumalizaka kwa mchezo kati ya timu hiyo dhidi ya Kagera Sugar huku simba wakilala kwa kufungwa bao 1-0.
Magufuli ”Sisi Wanasimba” Kauli ya JPM Iliyoibua Shangwe
Comments are closed.