Mhariri Gazeti la Championi, John Joseph, Afunga Ndoa
Share
MHARIRI wa gazeti la Championi Ijumaa, John Joseph, jana amefunga ndoa na Happiness Kayanza katika Kanisa la Katoliki la Kibaha Parokia ya Tumbi, Kibaha Maili-Moja, Mkoa wa Pwani.
Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.
Comments are closed.