HARUSI YA BABU SEYA, SHANGWE KAMA LOTE (PICHA +VIDEO)
SHAMRASHAMRA za harusi baada ya mwanamuziki mkongwe, Nguza Viking maarufu Babu Seya, zimefanyika kwenye Ukumbi wa Hotel ya Landmark iliyopo Mbezi Beach jijini Dar es Salaam baada ya jana Jumamosi kufunga ndoa na Bi.Esteria Haule katika Kanisa Takatifu Katoliki Parokia ya Bikira Maria, Sinza, Dar ambapo wageni waalikwa walifaidi vya kutosha.
PICHA: RICHARD BUKOS | GPL
Comments are closed.