Fiesta Mwanza: Dk 7 Za Mr Blue Jukwaani, Afunga Dimba Kibabe -Video
MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, Heri Samiry maarufu kwa jina la ‘Mr Blue’, usiku wa kuamkia leo ametoa burudani ya nguvu kwa mashabiki wake katika Tamasha la Tigo Fiesta 2019 ambalo limefanyika katika katika Uwanja wa CCM Kirumba, jijini Mwanza.
Mastaa waliopanda kwenye jukwaani ni Rich Mavoko, Maua Sama, Lulu Diva, Nandy, Marioo, Lunya, TID, Mr Blue, kundi la WEUSI na wengine wengi.
Comments are closed.