The House of Favourite Newspapers

Mtangazaji wa kituo cha Tv3 Aliyedaiwa kupotea Apatikana Kwa Shangazi

0

Mtangazaji wa kituo cha Tv3 na mwanafamilia wa tasnia ya habari kwa ujumla, Gwamaka Francis ‘BOIBOI MKALI” ambaye aliripotiwa kupotea, amepatikana!akiwa nyumbani kwa shangazi yake Kitunda jijini Dar es Salaam ambapo jeshi la Polisi limesema kuwa linaendelea na mahojiano ili kujua ukweli wa tukio lake na litatoa taarifa rasmi hapo baadae.

Leave A Reply