Madai Fumanizi! Mwalimu wa Kike Ajinyonga Nyumbani kwa Mwal. Mkuu
MWALIMU wa kike katika shule Moja ya Msingi iliyopo Tarafa ya Mgeta Wilaya ya Mvomero Mkoa Morogoro, amezua gumzo baada ya kudaiwa kujinyonga kwenye nyumba ya Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Mlali iliyopo kijiji cha Mlali Wilaya ya…