The House of Favourite Newspapers

Kada CCM Auawa Kisa Sh 200

KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM); Kata ya Tungi, Manispaa ya Morogoro, Baraka Masuki amedaiwa kuuawa kwa kupigwa kichwa kwenye paji la uso na mteja wa baa yake aliyefahamika kwa jina moja la ldd huku chanzo kikidaiwa kuwa ni shilingi…

MREMBO ACHUNGULIA KIFO LIVE!

KAMA siku yako ya kifo haijafika, haijafika tu, utadhurika na kuteseka ila hufi! Ndivyo walivyokuwa wakisema baadhi ya mashuhuda wa tukio la mrembo Joyce Mwane ambaye amejikuta akiangua kilio hadharani baada ya kuchungulia…

Maajabu Mazishi ya Liyumba

Aliyekuwa Mkurugenzi wa Utawala na Utumishi wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Amatus Joachim Liyumba enzi za uhai wake. Stori: Dustan Shekidele, Wikienda MAHENGE, Morogoro: Rest in peace! Mwili wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Utawala na Utumishi…

Mwisho mwampamba kortini

Mwisho Ephraim Mwampamba akiwa Mahakamani. NA Dustan Shekidele, RISASI mchanganyiko MOROGORO: Ikiwa takriban siku 40 tangu baba yao, Dk. Ephraim Njawala Mwampamba, Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Kilimo Cha Sokoine (SUA) afariki dunia, mwanaye…

Jamaa azidisha ‘dozi’, aanguka, afa

STORI: Dustan Shekidele, Wikienda Morogoro: Janga la kitaifa! Wakati wasanii wa Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’ na Rashid Makwilo ‘Chid Benz’ wakiteswa na madawa ya kuleva ‘unga’, jamaa aliyefahamika kwa jina la Halid Bitebo, mkazi…