KISUTU: Kaburu Achukuliwa na TAKUKURU
TASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imemchukua Makamu wa Rais wa Klabu ya Simba, Godfrey Nyange ‘Kaburu’ kwa ajili ya kumuhoji kuhusiana na tuhuma zinazomkabili za utakatishaji fedha kiasi cha Dola za Marekani 300,000 katika…