The House of Favourite Newspapers

NMB Yakarabati Wodi ya Uzazi Muhimbili

Benki ya NMB imekarabati na kukabidhi wodi ya uzazi pamoja na vifaa tiba kwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Ukarabati huo uliogharimu zaidi ya Shilingi Milioni 250 umejumuisha kupaka rangi jengo, kukarabati makabati, kubadilisha…