Queen Darleen: Naumia Kuishi Bila Mpenzi
Na ALLY KATAMBULA| GAZETI LA AMANI| SHOWBIZ XTRA
MWANAMUZIKI anayefanya vizuri akiwa chini ya Lebo ya ‘WCB’, ‘Queen Darleen’ amefunguka kuwa anaumizwa sana na hali ya kuishi bila mpenzi jambo ambalo limekuwa likimuumiza sana katika…