Barua Nzito ya Aslay kwa Marehemu Mama Yake
HUYU anaitwa Aslay Isihaka Nassor kijana aliyezaliwa Mei 6, mwaka 1995 wilayani Temeke mkoa wa Dar es Salaam na baadae kuibukia kwenye muziki akiwa na umri mdogo kabisa. Wakati wa harakati zake, Aslay alitoa kibao alichokipa jina la…