The House of Favourite Newspapers

Bob Junior, Mrembo Wazua Gumzo

Na: GLADNESS MALLYA| RISASI JUMAMOSI| MIKITO NUSUNUSU MSANII wa Bongo Fleva, Raheem Rummy Nanji ‘Bob Junior’  hivi karibuni alizua gumzo baada ya picha yake akiwa amepakatwa na mrembo kuvuja mitandaoni akidaiwa ndiye mpenzi wake wa…

Hofu Yatanda Walipo Mastaa Hawa!

MIONGONI mwa sintofahamu inayoendelea ni kutojulikana alipo aliyekuwa staa wa Bongo Movies, Mikalla aliyeng’ara kwenye Filamu ya The Lost Twins akitumia jina la Anita; filamu iliyoandaliwa na aliyekuwa kinara wa tasnia hiyo, marehemu…

Mondi Akataa Msamaha wa Harmo!

TAARIFA ya moto ikufikie kwamba, ule msamaha wa msanii wa Bongo Fleva, Rajab Abdul ‘Harmonize’ kwenda kwa baba yake aliyemlea kimuziki, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, umeibua mazito, RISASI MCHANGANYIKO lina ‘exclusive’. Habari za…

Mambo 6 Miaka 30 ya Wema

MSANII na nyota wa filamu nchini Tanzania, Wema Sepetu siku ya leo Septemba 29 anatimiza miaka 30, ambapo kupitia instagram yake amepost picha mbalimbali zikimuonesha kujipongeza, haya hapa ni mambo sita ya kufahamu kuhusu siku yake hii…

Mastaa Waliokuwa Gizani 2019!

KUACHIA ngoma kali na kukubalika ni jambo moja, lakini kibarua kigumu zaidi ambacho wasanii wanakuwa nacho ni kuhakikisha wanakuwa juu kila mwaka. Kwenye Bongo Fleva kuna baadhi ya wasanii ambao miaka kama miwili au mmoja…

Vanessa ni funzo kwa mastaa wa kike bongo!

Makala: Hamida Hassan Staa wa muziki Bongo, Vanessa Mdee ‘Vee Money’ ni funzo kwa mastaa wa kike Bongo. Nyendo zake tangu aingie kwenye Bongo Fleva hadi akaibuka na tuzo kwenye Kinyang’anyiro cha Afrika Musik Magazine Awards ‘Afrimma’…

Mastaa wamwanika mshindi wa urais

Mwandishi Wetu UTAFITI uliofanywa na gazeti hili umeonesha mastaa wa muziki na filamu Bongo wanampa asilimia nyingi zaidi za ushindi mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi, John Magufuli dhidi ya mgombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo…