Staa wa Bongo Movies Wolper Aokoka Kisirisiri, Abadilika Kimatendo
Jacqueline Wolper au Mama P; ni staa wa Bongo Movies ambaye tangu atangaze kuwa anatamani kuokoka, amebadilika mno kimatendo.
Watu wa karibu wa Wolper wanadai kuwa, mama huyo wa watoto wawili ameokoka kisrisiri.
Wakati…