KWENYE EXCLUSIVE na Imelda Mtema amepiga stori na mwigizaji wa filamu Bongo, Mama Ashura au Semeni wa Juakali ambaye amefunguka mengi ikiwemo ndoa yake kuvunjika na urafiki wake na Ebitoke.... ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO…
KOMEDIANI maarufu Bongo, Ebitoke anasema kuwa, komediani mwenzake, Idris Sultan ndiye msanii ambaye anautangaza zaidi utalii na nchi kupitia umaarufu wake ulioupata kwenye sanaa tofauti na wasanii wengine wote.
Idris ambaye…
MSANII wa vichekesho Bongo, Annastazia Exavery ‘Ebitoke’ kwa mara ya kwanza amesema kuwa hajawahi kubeba ujauzito katika maisha yake ila anashangaa kwa nini watu waliamua kumuibulia hiyo skendo.
Akipiga stori mbili tatu na…
MSANII wa vichekesho nchini,ambaye pia ni msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Anastazia Exavery ‘Ebitoke’ kwa mara ya kwanza ameropoka siri ya msanii mwenzake Nairath Ramadhani kuwa hana mbele wala nyuma.
Ebitokeo ametoa kauli…
MSANII wa vichekesho Bongo, Annastazia Exavery ‘Ebitoke’ amesema hana wivu hata kidogo na wasichana wanaochipukia katika uchekeshaji kwa sababu na yeye alitokea huko.
Akizungumza na AMANI msanii huyo alieleza kwamba kila…
KOMEDIANI matata Bongo, Annastazia Exavery ‘Ebitoke’ amefunguka juu ya bifu lake na msanii wa Bongo Fleva, Gift Stanford ‘Gigy Money’ akisema hamuogopi na wakikutana kitawaka muda wowote.
Akistorisha na OVER ZE WEEKEND,…
MCHEKESHAJI Annastazia Exavery (22) maarufu kama Ebitoke amesema atashiriki shindano la Miss Tanzania mwaka 2020.
Akizungumza leo Ijumaa Februari 28, 2020, Ebitoke ametaja sababu tatu za kushiriki shindano hilo ambazo ni: …
BAADA ya kuibua tumbwili hotelini kwa aliyedai ni mpenzi wake, mwigizaji Yusuf Mlela, mchekeshaji Annastasia Exavery ‘Ebitoke’ amesema, mimba aliyonasa ya jamaa huyo hawezi kuitoa hata kama atashikiwa mtutu wa bunduki.
…
ILE kiki hoti a.k.a Sinema ya Annastazia Exavery ‘Ebitoke’ na Yusuph Mlela inaendelea na sasa imenoga baada ya njemba mmoja kutoka Zanzibar ‘Zenji’ kuibuka na madai ya kuporwa mke; tulia hivyohivyo Risasi likuhabarishe.
Njemba…
DAR ES SALAAM: Baada ya komediani maarufu wa kike Bongo, Annastazia Exavery ‘Ebitoke’ kukinukisha kwenye mkutano wa waandishi wa habari wa mwigizaji Yusuf Mlela, jamaa huyo amejiongezea ulinzi.
Jumatatu wiki hii, Ebitoke…
KIKI imemtokea puani! Komediani na mwigizaji maarufu wa kike wa filamu za Kibongo asiyeishiwa vituko, Annastazia Exavery almaarufu kama Ebitoke, amempoza mwigizaji Yusuf Mlela, Amani limedokezwa.
Jumatatu ya Novemba 11,…
MSANII wa vichekesho nchini, Anastazia Exavery maarufu kama Ebitoke amevamia mkutano wa Msanii mwezake wa Bongo Movies, Yusuph Mlela na waandishi na kutaka kupigana na mpenzi wa sasa wa Mlela.
Mlela ambaye alikuwa ameongozana…
SIKU hizi kuna usemi usemao bana mpaka penati! Ndivyo anavyoonesha mchekeshaji wa kike, Annastazia Exavery ‘Ebitoke’ baada ya kutokubali kama mpenzi wake Yusuph Mlela amemsaliti kwa mwanamke mwingine.
Akizungumza na Za Motomoto…
BAADA ya kuweka picha akiwa amebabuka uso huku maneno ya kejeli yakiwa mengi, msanii wa vichekesho; Annastazia Exavery 'Ebitoke' amesema hata kama amebabuka lakini kileleni mwa Mlima Kilimanjaro amekaribia kufika ‘amechungulia’.…
UNAFIKIRI kupanda Mlima Kilimanjaro ni kazi lelemama? Sasa taarifa ikufikie kuwa komediani mkali Bongo, Annastazia Exvery ‘Ebitoke’, amejikuta akilia peke yake baada ya kuona uzalendo unataka kumshinda wakati akipanda Mlima Kilimanjaro…
MKALI wa vichekesho kwa lafudhi ya Kihaya, mwanadada Ebitoke, amesema kuwa wanaandaa muvi itakayoonyesha mahusiano yake na mpenzi wake wa sasa ambaye pia ni muigizaji wa Bongo, Yusuph Mlela.
Ebitoke aliyasema hayo…
MIONGONI mwa stori zenye wafuatiliaji wengi kuhusu mastaa wa Bongo ni 'couple' mpya jijini inayowahusisha waigizaji Ebitoke na Yusuph Mlela ambao wameendelea kuvitengeneza vichwa vya habari tangu walipoamua kuyaweka hadharani mahusiano yao.…
YA Mungu mengi! Ukimsikia komediani Annastazia Exavery ‘Ebitoke’ utacheka, maana mwenyewe ameapa kumzalia mpenzi wake ambaye ni mwigizaji wa kiume wa Bongo Movies, Yusuf Mlela. Ebitoke ameliambia Gazeti la Ijumaa Wikienda kuwa,…
MWANAMAMA anayefanya vizuri kunako Bongo Muvi, Esha Buheti amesema mapenzi ya msanii mwenzake Yusuph Mlela na mchekeshaji, Anastazia Exavery ’Ebitoke’ ni kweli na siyo kiki kama ambavyo watu wanadhani. Akibonga na Za Motomoto ya Risasi,…
MENEJA wa zamani wa mchekeshaji Ebitoke, Bhoke Rioba ameingilia kati suala la msanii wake huyo kuanika uhusiano wake na mwigizaji Yusuf Mlela.
Meneja huyo amemtahadharisha Ebitoke kuwa asitegemee kupata dili zozote kama…
CHEZEA mapenzi wewe! Mtu akipenda haoni wala haambiwi, umemsikia msanii wa vichekesho, Anna Exvery 'Ebitoke'? Aanasema kuwa anawashangaa watu wanavyoponda mapenzi yake yake na msanii mwenzake, Yusuph Mlela. Akibonga na Za Motomoto ya…
ZANZIBAR: Mwigizaji maarufu wa vichekesho Bongo, Annastazia Exavery ‘Ebitoke’ amesema kazi ya kuuza baa imemfundisha vitu vingi hasa kwenye upande wa maisha.
Akizungumza na Gazeti la Ijumaa Wikienda, Ebitoke alisema kamwe…
MUIGIZAJi wa vichekesho ambaye kwa sasa amegeukia gemu la Bongo Fleva, Anastazia Exavery 'Ebitoke', kwa mara ya kwanza amezungumzia jinsi alivyoweza kuimba mpaka kufanikiwa kuachia ngoma mpya inayoitwa 'NIPSEY'.
Ebitoke…
BAADA ya habari kuzagaa kwamba kwa sasa anatumia mkorogo (anajichubua) ndiyo maana amekuwa mweupe ghafla, mchekeshaji maarufu Bongo, Anastazia Exavery ‘Ebitoke’ ameibuka na kukanusha vikali skendo hiyo.
Akichonga na Risasi…
MCHEKESHAJI anayesumbua katika mitandao ya kijamii, Jackson Miraji ‘Mkali Wenu’ ambaye mwanzo alikuwa katika Kundi la Timamu amechomoa kufanya kazi na mchekeshaji mwenzake, Anna Exavery ‘Ebitoke’ ambaye walikuwa wote kwenye kundi hilo.…
MUIGIZAJI wa comedy nchini, aliyejizolea umaarufu mkubwa kwenye mitandao ya kijamii, Anastazia Exavery ‘Ebitoke’ (20) ametangaza kujiondoa kwenye kundi lake la Timamu Africa alilokuwa akifanya nalo kazi zake za sanaa.
…
MSANII wa vichekesho, Annastazia Exavery ‘Ebitoke’ amesema kuwa wanja mwingi ‘anaojisiriba’ machoni ndio umempa maisha na kutimiza ndoto zake za muda mrefu.
Akizungumza na gazeti hili, Ebitoke alisema kuwa habari ya kufanya ‘make up’…
MCHEKESHAJI, Anna Exavery ‘Ebitoke’ amefunguka kuwa hajawahi kuachana na msanii, Ben Pol isipokuwa aliona jamaa kama amempotezea hivyo akaamua kujiweka kando.
Akizungumza na Full Shangwe, Ebitoke alisema hajawahi kuachana na…
USIKU wa Desemba 15, 2017, katika ukumbi wa MLIMANI CITY, Jijini Dar es Salaam, kumefanyika uzinduzi wa filamu kubwa ya 'FROM NIGERIA', Kutoka katika kampuni ya JUMO ENTERTAINMENT, uzinduzi huo umehudhuriwa na wasanii wengi kutoka…
STAA wa vichekesho Bongo, Ebitoke alipanda jukwaani na kundi lake zima kutoka Timamu, liliwafanya mashabiki wavunjike mbavu kwa vicheko kutokana na mambo ambayo waliyafanya jukwaani akiwa sambamba na mamaa Ashura.
Dk Shika akiongea na wananchi katika usiku wa '900 Itapendeza' uliofanyika katika ukumbi wa burudani wa Dar Live Mbagala-Zakhem, jijini Dar usiku wa kuamkia leo.
...Akitambulishwa kwa mashabiki na mmoja wa waandaaji…
WAKAZI wote wa jiji la Dar es Salaam, wametakiwa kukaa tayari na kujiandaa kwa Tamasha kubwa litakalofanyika usiku wa Desemba 9, 2017, katika ukumbi wa Taifa wa Burudani Dar Live, ambalo ni maalum kwa ajili ya Dkt Louis Shika, ambaye…