Vanessa: Naishi Maisha Yangu
MWANADADA anayejua kutupia pamba vilivyo ndani ya muziki wa Bongo Fleva, Vanessa Mdee ‘Vee Money’ amesema kuwa anaishi maisha yake na siyo maisha wanayotaka watu aishi.
Akichezesha taya na Mikito Nusunusu, mwanadada huyo…