‘Mpemba wa Magufuli’ na Wenzake Watakiwa Kupelekwa Mahakamani
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewataka washtakiwa katika kesi ya Uhujumu Uchumi inayomkabili mfanyabiashara, Yusufu Ali maarufu ‘Mpemba wa Magufuli’ na wenzake wanatakiwa kupelekwa mahakamani hapo ili kesi hiyo iweze kuendelea kwani…