The House of Favourite Newspapers

MUNA AOTESHWA NDOA MWAKA HUU

MUIGIZAJI wa filamu, Rose Alphonce ‘Muna’ amesema ameoteshwa na anaamini kabisa mwaka huu Mungu, atamletea mumewe kwa sababu hajawahi kumuomba kitu akaacha kumjibu kwa wakati hivyo ataolewa kabla mwaka huu haujaisha. …

HAWA WANAPIGA KOTEKOTE !

MUZIKI wa Bongo Fleva kwa sasa upo kwenye ubora wake na hilo halina ubishi. Kumekuwa na ushindani mkubwa kwa wasanii wa kike na wa kiume ambapo mara kwa mara wamekuwa wakitoa ngoma na video kali.  Lakini haohao wasanii mbali na kufanya…

Jide Na Ishu ya Kuishi Nigeria

MEI 20, mwaka jana ndani ya Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar, nilibahatika kuwa miongoni mwa waalikwa katika tamasha kubwa la muziki lililotambulika kama Naamka Tena lililoandaliwa na mwanamuziki mkongwe wa kike wa Bongo Fleva nchini,…

Siri Yafichuka Kivuruge ya Nandy

IMEFICHUKA! Ile Ngoma ya Kivuruge iliyoimbwa na msanii zao la Jumba la Kuibua Vipaji ‘THT’, Faustina Charles ‘Nandy’ kumbe ilishawahi kuimbwa na msanii kutoka THT, Juma Said ‘Jay Melody’. Akizungumza na Full Shangwe, Jay Melody…

MASTAA WAPEWA KIBANO NA TRA

IMEFICHUKA! Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imeweka wazi kuwa kwa sasa inakula sahani moja na kuwapa kibano kikali mastaa wote wanaokwepa kodi kupitia kazi zao kiasi cha kulikosesha taifa mapato yake yanayostahili, Ijumaa…

KAHABA KUTOKA CHINA-01

“Nisikilize Rose. Unataka niseme nini ili ujue kwamba nakupenda? Unataka nifanye nini ili ujue kwamba nakuhitaji? Au unataka nijiue? Au unataka usikie nimekimbizwa hospitali baada ya kunywa sumu ya panya kwa lengo la kujiua kwa sababu…

Nature: Singeli Haiwezi ‘Kufa’

STORI: NA ANDREW CARLOS | AMANI | Showbiz Xtra MKONGWE wa Muziki wa Bongo Fleva, Juma Kassim ‘Nature’ amefungukia baadhi ya madai ya watu wanaosema Muziki wa Singeli ni wa muda mfupi na kuwaambia kuwa, hata iweje muziki huo…