Basata: Tumezuia Shoo Ya Nay Wa Mitego Kwa Sababu Amekataa Wito Wito Mara 2 – Video
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limesema limetoa wito mara mbili kwa Msanii wa Bongo Fleva, Nay
Wa Mitego kufika Ofisini kwa ajili ya mazungumzo kuhusu Wimbo wake wa Amkeni lakini hakutokea na hiyo ndio sababu ya kuzuia vibali vya…