The House of Favourite Newspapers

Kuachika/ Kuachwa si Mwisho wa Maisha

Na DAYNA NYANGE| GAZETI LA AMANI| SINDANO ZA MASTAA BILA shaka mpenzi msomaji uko poa kabisa! Nikukaribishe tena kwenye Sindano za Mastaa. Wiki iliyopita mlikuwa na staa wa sinema za vichekesho Bongo, Crispin Masele ‘Chapombe’.…

Kikongwe alia akiomba msaada

Gonjwa linalomtesa Bibi Rose Shilinde. DAR ES SALAAMA: “Naishi kwa kula, kunywa kwa kutumia mrija! Ni matatizo juu ya matatizo kwa kweli. Yaani nateseka sana mimi jamani,” hiyo ni sauti ya unyonge wenye kukata tamaa iliyotoka kinywani mwa…

Dunia uliyoiacha nyuma yako – 60

Matumizi mabaya ya fedha za serikali na ubadhirifu mkubwa unaotokea kwenye Wizara ya Fedha, vinamsababishia waziri mwenye dhamana katika wizara hiyo, Abbas Magesa matatizo makubwa, anaponea chupuchupu kufa katika ajali ya kutengenezwa.…

Mkuki moyoni mwangu – 62

ILIPOISHIA... BAADA ya Dracula kutoa ushahidi wote, yeye, Dragon na washirika wao wote ambao walihusika kuua watu wengi kwa matakwa ya bosi wao Jackson Motown, wanahukumiwa kufa kwa kudungwa sindano. Wanafurahia kwa sababu wanaamini…

Mkuki moyoni mwangu 60

ILIPOISHIA... WAZAZI wa Catarina, siku moja wakiwa wanaangalia taarifa ya habari, wanashangaa kuona Serikali ya Marekani ilikuwa imekata rufaa katika kesi ya Jackson Motown na tayari yeye na wenzake wote walikuwa wamekamatwa na kuwekwa…

Mkuki moyoni mwangu-54

DRACULA amefanikiwa kumchukua Catarina kutoka kwenye nyumba aliyofichwa na FBI akijifanya Padri aliyekuwa akienda kwenye nyumba hiyo kumpa Catarina msaada wa kiroho, akaaminika kama Padri Coronel Garsia! Kwa ushirikiano na afisa wa FBI…

The Angels of Darkness – 59

Watoto wawili mapacha, Arianna na Brianna wanatenganishwa wakiwa bado wadogo kufuatia tukio baya la kigaidi linalotokea wakiwa mapumzikoni na wazazi wao nchini Kenya, kwenye kituo kikubwa cha biashara cha Kikuyu Mall jijini Nairobi. Katika…

The Angel Of Darkness  – 58

Magaidi walioshambulia katika kituo kikubwa cha biashara cha Kikuyu Mall jijini Nairobi, Kenya wanasababisha vifo vya watu wengi, wakiwemo Joseph Ndaki, Meneja wa Benki Kuu ya Tanzania, Tawi la Dar es Salaam na mkewe, Asia Mustafa. Baada…

The Angel Of Darkness 57

Magaidi walioshambulia katika kituo kikubwa cha biashara cha Kikuyu Mall jijini Nairobi, Kenya wanasababisha vifo vya watu wengi, wakiwemo Joseph Ndaki, Meneja wa Benki Kuu ya Tanzania, Tawi la Dar es Salaam na mkewe, Asia Mustafa. Baada…