Mdau wa Soka Afunguka, Ammwagia Sifa Ntibazonkiza Adai Yeye ni Kama Mvinyo
UBORA wa Saido Ntibazonkiza umeendelea kuwa juu tangu sakata lake la utovu wa nidhamu na Klabu ya Yanga kumalizika.
Kwa mujibu wa Salehe Ally 'Jembe' Mchambuzi wa kipindi cha Krosi Dongo kinachorushwa na Global TV na Global…