The House of Favourite Newspapers
Tags:

Sanchi: Sijutii Kubadili Dini

MREMBO ambaye alipata umaarufu kutokana na kujaaliwa umbo matata la kuvutia, Surraiya Rimoy ‘Sanchi’ anasema kuwa, hajutii hata kidogo kitendo chake cha kubadilisha dini kutoka kuwa Mkristo na kuwa Muislam kwani imemfanya awe anajua…

Sanchi, Kiba Mambo ni Moto!

WAKATI wa Mungu kukujaalia mema ukifika, hakuna awezaye kuzuia! Ndivyo wanavyoamini baadhi ya wafuasi wa mwanamitindo maarufu Bongo, Janey Rimoy ambaye baada ya kubadili dini kutoka Ukristo na kuwa Muislam, sasa anaitwa Surraiya Rimoy…

Sanchi Abadili Dini

Mwanadada mwenye figa matata Bongo, Janey Rimoy maarufu mtandaoni kwa jina la Sanchi au Sanchoka amerejea katika vichwa vya habari, safari hii ikiwa ni kutokana na hatua yake ya kuamua kubadili dini na kuwa Muislamu. Sanchi…

Sanchi apigwa stop nguo za kubana

D AKTARI wa mwanamitindo mwenye umbo matata Bongo, Jane Rimoy ‘ Sanchi’ amempiga stop mrembo huyo kuvaa nguo za kubana kwa kipindi hiki ambacho amepandikiza mbegu kwa ajili ya kupata watoto mapacha.  Akizungumza na Risasi Mchanganyiko,…

Waliomchafua Sanchi Watakufa

BAADA ya picha zake chafu kuzagaa mitandaoni, mrembo ambaye ni mwanamitindo ndani na nje ya nchi, Jane Rimoy ‘Sanchi’, ameibuka na kueleza kuwa waliosambaza watakufa kinywa wazi. Akizungumza na Over Ze Weekend, Sanchi alisema…

Mama Lawamani Skendo ya Sanchi

KWA wafuatiliaji wa mitandao ya kijamii, gumzo kubwa lilikuwa ni skendo ya picha za utupu ambazo anadaiwa kupiga au kupigwa, mrembo mwenye shepu ya aina yake Bongo, Jane Rimoy ‘Sanchi’. Lakini pamoja na picha hizo kumhusu Sanchi zaidi,…

Sanchi kupandikiza pacha mwezi ujao

MREMBO mwenye umbo mtikisiko, Jane Rimoy ‘Sanchi’ amesema mwezi ujao ndio anatarajia kwenda kupandikiza pacha watatu nchini Afrika Kusini.  Akichonga na Za Motomoto News, Sanchi alisema kwa muda mrefu alikuwa na ndoto ya kufanya hivyo…

Mama wa Sanchi Wala Hamaindi

WAKATI mwanaye akizua mjadala kama wote mtandaoni kuwa anakaa nusu utupu kutokana na vivazi vyake, mama mzazi wa modo mwenye shepu yake Bongo, Jane Rimoy ‘Sanchi’ wala hamaindi kama kuna tatizo kwa mwanaye. Sanchi ameliambia…

Mnaomsema Sanchi ni Wivu Tu

Modo maarufu Bongo (sociallite) Jane Rimoy ‘Sanchi’ amesema watu wanaomsema kuwa ana miguu mibaya ni wivu tu unawasumbua. Akizungumza na gazeti la ijumaa, Sanchi alisema ameona watu wengi wakimchambua miguu yake kwenye…

SANCHI ANAANGALIA MAHABA ZAIDI

Modo mwenye jina kubwa ndani na nje ya Bongo, Jane Rimoy ‘Sanchi’ ameweka wazi kuwa, mwanaume ambaye atamuoa haangalii anatoa mahari kiasi gani, bali anaangalia mahaba yake. Akizungumza na Gazeti la Ijumaa Wikienda, Sanchi alisema wengi…

POSHY SILAZIMISHI SANCHI KUNIFAHAMU

Mrembo ambaye jina lake limekuwa kubwa mjini kutokana na umbo lake tata, Jacqueline Obeid ‘Poshy’ amemfungukia mrembo mwenzake, Jane Rimoy ‘Sanchi’ na kusema hamlazimishi kumfahamu. Akizungumza na Ijumaa, Poshy alisema kuwa kama mtu…

ATAKAYEMUOA SANCHI AJIPANGE

KAZI ipo! Mwanamitindo ambaye jina lake limezidi kupaa kutokana na umbo lake tata, Jane Rimoy ‘Sanchi’ amesema kuwa mwanaume ambaye atampenda na kumuoa lazima ajipange kisawasawa.   Akizungumza na Gazeti la Ijumaa, Sanchi…

SANCHI hana kovu la kiwembe

KWELI? Mrembo ambaye jina lake limesimama kutokana na umbo lake matata, Jane Rimoy ‘Sanchi’ hivi karibuni alionekana akijiachia huku akiwa amevaa nguo za kuogelea huko visiwani Zanzibar na kufuta ule uvumi kwamba alichanwa viwembe.…

SANCHI HANA KOVU KIWEMBE

KWELI? Mrembo ambaye jina lake limesimama kutokana na umbo lake matata, Jane Rimoy ‘Sanchi’ hivi karibuni alionekana akijiachia huku akiwa amevaa nguo za kuogelea huko visiwani Zanzibar na kufuta ule uvumi kwamba alichanwa viwembe.…

SANCHI AFUNGUKIA KUKODI NDEGE

BAADA ya kusemekana kukodi ndege binafsi akitokea Dar kuelekea mkoani Iringa, mwanamitindo maarufu Bongo, Jane Rimoy ‘Sanchi’ amefunguka kuwa hajawahi kukodi ndege zaidi ya kupanda kama abiria wengine.   Akizungumza na Za…

KIBOKO YA SANCHI AIBUKA, AONYWA

DAR: Kama ulikuwa bado unaamini kuwa mrembo mwenye figa matata pekee Bongo ni Sanchi, basi fahamu kuwa unakosea kuna mwingine anaitwa Scollah Wawuda ‘Binti Salim’ ambaye ameibuka kwenye tasnia ya uigizaji na kutikisa lakini hata hivyo…