Ester Bulaya Amvaa Sirro Bil 4 Zilizopotea kwenye Mfuko Kufa na Kuzikana – Video
Mbunge wa Viti Maalum Esther Bulaya amedai kuwa zaidi ya shilingi Bilioni 4.8 zimepotea kwenye Mfuko wa Tuzo na Kufa na Kuzikana wa Jeshi la Polisi nchini.
Bulaya amesema hayo Bungeni jijini Dodoma wakati akichangia hoja za Kamati…