The House of Favourite Newspapers
gunners X

SportPesa Ukibet Multibet Unapata Bonus

 Ukibet Multibet unapata bonus kadri unavyozidi kuongeza mechi. Dar-Es-Salaam, January 31 ,2022- Kampuni yamichezo na burudani Sportpesa inayo furaha kutambulisha kwa Watanzania, huduma yake mpya ya Multibet Bonus kwa wachezaji wake wote…

SportPesa Waiongezea Mkataba Namungo FC

KAMPUNI ya michezo na Burudani ya SportPesa Tanzania, imeongeza mkataba wa mwaka mmoja wa udhamini timu ya Namungo ya Ruangwa, Lindi. SportPesa imeingia makubaliano hayoya kuendelea na udhamini Namungo baada ya pande mbili…

SportPesa Yazamini Bunge la Tanzania

Jumanne,November 30. Kampuni ya michezo  Na burudani SportPesa leo imetoa vifaa vya michezo vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 20 kwa timu ya Bunge ambayo inatarajia kushiriki mashindano ya mabunge ya nchi wanachama…

Sportpesa Yaipa Mwaka Mwingine Namungo Fc

KAMPUNI ya mchezo ya kubashiri matokeo ya mpira, nchini ya Sportpesa, kupitia kwa mkurugenzi wa utawala na udhibiti wa Sportpesa, Tarimba Abbas,  leo Februari 17,  wamesaini mkataba mpya wa mwaka mmoja ukiachilia mbali ule wa awali na…