Yanga Walamba Kitita cha Milioni 405 kutoka kwa Mdhamini wao Mkuu, SportPesa
Rasmi Young Africans SC imepokea Hundi ya TZS 405,000,000/= (milioni mia nne na tano) kutoka kwa mdhamini mkuu wa Klabu @tzsportpesa kama sehemu ya fedha za mafanikio ya Ubingwa wa Ligi Kuu ya NBC, Kombe la Shirikisho la Azam na Mashindano…