MREMBO anayefanya vizuri kwa sasa kunako gemu la Bongo Fleva, Estelina Sanga 'Linah' ameachia Video ya wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la ‘Sikukumbuki ’
WASANII mbalimbali Leo wamefanikiwa kuusimamisha ukanda wa Wilaya ya Temeke na viunga vya jirani Jijini Dar es Salaam kwa kuwakutanisha mashabiki mbalimbali kwenye tamanasha la Kimataifa lililofahamika kama 'Zege Day' lililofanyika…
Rapa Young Dee ameelezea hisia zake kwa rapa mwenzie Stamina, akisema hamkubali Stamina na anadhani ndio chanzo cha kundi la 'Mtu Chee' kuvunjika.
"Mimi Stamina simkubali, hatuongei na sio mshkaji wangu. Halafu nadhani ndio…
Mwaka ukiwa unaelekea ukingoni, wasanii wanaofanya vyema katika gemu ya Bongo Fleva, Diamond Platnumz, Ali Kiba na Stamina, wanatajwa kuwa miongoni mwa wasanii walioapata mafanikio makubwa zaidi katika jukwaa la kustream muziki la…
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Bongo, Boniventure Kabogo (Stamina), ameachia album yake ya pili aliyoipa jina la Paradiso ambayo ina mkusanyiko wa jumla ya nyimbo 13.
Wasanii alioshirikiana nao katika albamu hiyo ambayo…
MOJA Stori zilizogusa mioyo ya Watanzania leo Alhamisi, Mei 20, 2021 ni kuhusu wasanii wa kizazi kipya (bongo fleva) Roma Mkatoliki na Stamina wanaounda Kundi la ROSTAM wametoa msaada wa ventilator (mashine ya kusaidia kupumua) na…
MKALIwa Hip Hop Bongo, Bonaventure Kabogo ‘Stamina’ amesema yeyote anayeleta unafiki kwenye maisha yake huwa ana mblock.
Akizungumza na AMANI hivi karibuni, Stamina alisema kati ya watu ambao huwa hana mpango nao ni watu…
Msanii wa HipHop hapa nchini Stamina Shorwebwenzi amesema atamkumbuka Rais Dkt John Pombe Magufuli kwa kila kitu hasa kufanya mambo mengi na makubwa ndani ya muda mfupi ya uongozi wake.
Stamina Shorwebwenzi…
RAIS John Magufuli, ameufagilia na kuomba apigiwe wimbo ulioimbwa na Professor Jay na Stamina, wenye ujumbe unaomsema baba aliyeshindwa kutimiza majukumu yake kwa mtoto unaoitwa Baba.
amebainisha kuvutiwa na mashairi ya…
RAPA mkali kutoka Morogoro anayeunda kundi la Rostam, Stamina ameshangazwa na ukubwa wa kampuni ya Global, baada ya kuona kuwa inamiliki vitu vingi ikiwemo studio nzuri ya radio ya +255 Global Radio, baada ya kufanya ziara Makao Makuu…
MKALI wa Hip Hop Bongo, Bonventure Kabongo ‘Stamina’ amesema suala la kumuoma msamaha aliyekuwa mkewe ni jambo la siri na la watu wawili.
Stamina amesema haliwezi kuwa jambo la kuweka hadharani kwani wakati wanakubaliana kuwa kwenye…
RAPA mkali Bongo, Bonventure Kabogo ‘Stamina Shorwe-bwenzi’ amejimwambafai kuwa, anaweza kusi-mama mwenyewe bila rapa mwenzake, Ibrahim Mussa ‘Roma Mkatoliki’ wanaounda muunganiko wa ROSTAM.
Akistorisha na OVER ZE WEEKEND,…
MWANAMUZIKI wa Bongo Fleva, Bonivanture Kabongo ‘Stamina’ ameeleza kuwa baada ya ndoa yake ya kwanza kuvunjika, kwa sasa yupo mbioni kuingia kwenye ndoa nyingine kwa kuwa yeye ni mwanaume aliyekamilika.
Stamina ambaye ana ngoma…
MSANII anayefanya vyema kunako kiwanda cha Hip Hop nchini Bonivanture Kabonga ‘Stamina’ amefunguka kwamba mbali na kazi za muziki, mwaka huu mashabiki zake wategemee pia kupokea kazi zake za uandishi ambapo ana mpango wa kuachia vitabu…
PADRI wa Kanisa Katoliki, Dk Bernard Msike ambaye aliwafungisha ndoa staa wa Hip Hop, Bonaventure Kabogo ‘Stamina’ na mkewe Veronica Peter katika Kanisa la Mt. Maria Consolata mkoani Morogoro, amewaita wanandoa hao kanisani kwa ajili ya…
STAA wa Bongo Fleva anayetikisa na ngoma yake ya Asiwaze, Bonaventure Kabogo ‘Stamina’ amefunguka sababu ya kuachia ngoma hiyo ambayo imeonekana kumponda aliyekuwa mke wake, Veronica Peter.
Baada ya ngoma hiyo inayotrendi…
KATIKA kuhakikisha kikosi cha Yanga kinakuwa imara zaidi msimu ujao, Kocha Msaidizi wa timu hiyo, Noel Mwandila amewaanzisha tizi la kibabe wachezaji hao kwa kuanza na mazoezi ya kujenga stamina ili kuweza kuwa imara.
…
TIMU Rotasm imecheza mechi ya Kirafiki dhidi ya Mbagala United lengo ikiwa ni kuwaweka watu karibu ili kuhuhuria kwa wingi katika tamsha la Kufunga Jumla Jumla Dar Live siku ya mkesha wa mwaka mpya ambayo itawakutanisha timu Rostam.…
MKALI wa muziki wa kufokafoka kutoka pembezoni mwa Milima ya Uluguru iliyopo Mji Kasoro Bahari, Morogoro, Boniveture Kabogo ‘Stamina’ amefichua siri ya mtoto mtarajiwa ikiwa imepita miezi michache tangu afunge ndoa.
Akipiga stori…
MSANII wa Muziki wa Hip Hop, Rashid Makwiro maarufu kama Chid Benz amefungukia madai ya kufanya shoo ya msanii mwenzake Juma Jux iliyoitwa Money & Love kisha kutolipwa baada ya ku-perform.
Chid amedai kuwa…
ZIKIWA zimepita siku tatu tangu wakali wawili wa hip hop Bongo wanaounda kundi la ROSTAM, Roma Mkatoliki na Stamina kuachia wimbo wao mpya wa ‘PARAPANDA’ wakivaa uhusika wa Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere na Mzee Kingunge…
POPOTE watakapozungumziwa wanamuziki wakali wenye mchango mkubwa kwenye gemu la Muziki wa Bongo Fleva, bila shaka jina la Tunda Man, haliwezi kuachwa kutajwa.
Si rahisi kuachwa kutajwa kwa sababu mwanamuziki huyu kutoka mitaa ya…
MSANII wa Hip-Hop, Stamina, leo amefunga ndoa na mpenzi wake, Veronica Peter, katika Kanisa Katoliki, Morogoro mjini ambapo ndoa yake ilisimamiwa na msanii Roma na mkewe. Harusi hiyo imehudhuriwa na mastaa mbalimbali…
RAPA maarufu Bongo anayeunda Kundi la Rostam, Stamina na mchumba wake, Veronica wamefanya Send Off ya aina yake nyumbani kwao na staa huyo mkoani Morogoro usiku wa kuamkia leo.
Stamina na Veronica ambao wanatarajia kufunga ndoa…
RAPA Stamina ambaye anaunda Kundi la ROSTAM na rapa mwenzake Roma Mkatoliki, ameonyesha kushangazwa na maamuzi ya Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Juliana Shonza kumfungia Roma jana Alhamisi, Machi 1,…
WAKALI wa HipHop Bongo, Stamina, Jay Moe na Young Killer jana walifunika katika Show ya Kibabe iliyofanyika kwenye Mkesha wa Mwaka Mpya 2018 katika Uwanja wa Taifa wa Burudani wa Dar Live uliopo Mbagala Zakhem jijini Dar.
Show…
MARAPA wakali Bongo, Stamina na Young Killer wanatarajia kuangusha shoo ya nguvu katika mkesha wa Mwaka Mpya kwenye Ukumbi wa Dar Live, Mbagala Zakhem jijini Dar.
Mbali na wakali hao, usiku huo wa Desemba 31 unatarajiwa kupambwa na…
RAPA anayekimbiza kwa sasa kutoka pande za Morogoro, Stamina amesema kwamba ngoma yao mpya walioimba na Roma Mkatoli (ROSTAM), wakimshirikisha Maua Sama, ‘Kiba_100’ haina matusi kama baadhi ya watu wanavyodai.
Stamina amesema hayo…
WANAMUZIKI wanaounda kundi linalotikisa Bongo kwa sasa la Rostam, Roma Mkatoliki na Stamina, wamefunguka kuwa, endapo mmoja kati yao akibaini mwenzake amechepuka, basi ndiyo itakuwa mwisho wa uhai wa kundi hilo. Wawili hao kwa sasa…
Mashabiki wakiendelea kupata burudani kutoka kwa Roma
Mwanamuziki Stamina akifanya yake stejini.
Stamina na Roma Mkatoliki wakifanya yao stejini kwa pamoja.
Roma akiingia stejini kwa mwendo wa mateka.…
MWISHO wa Ubishi! Unaweza kusema hivyo kwa maana nyingine katika siku hii ya Idd Mosi pale watakapovamia jukwaa moja la Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live wakali kibao wanaotikisa kwa michano Bongo wakiongozwa na R.O.M.A Mkatoliki,…
Global TV Online itakuwa Live ==>www.youtube.com/user/uwazi1
Global Publishers Instagram itakuwa Live ==>www.instagram.com/globalpublishers
Global Publishers Facebook itakuwa Live ==>www.facebook.com/Globalpublishers
R.O.M.A,…
MACHO na masikio ya mashabiki wengi wa burudani kwa sasa yameelekezwa Sikukuu ya Idd Mosi katika kiwanja kimoja tu yaani Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar ambapo wakali kibao wataangusha mistari…
IBRAHIM Musa ambaye ni maarufu zaidi kama Roma, mkali wa Hip Hop aliyetengeneza vichwa vikubwa vya habari miezi michache iliyopita kufuatia tukio la kutekwa, leo mchana…