The House of Favourite Newspapers

Tunda Ajifungua Mtoto wa Kike

MUUZA nyago aliyejizolea umaarufu kutokana na vituko vyake katika mitandao ya kijamii, Tunda Sebastian amejifungua mtoto wa kike salama katika hospitali moja jijini Dar. Tunda ambaye ni mpenzi wa msanii wa Bongo Fleva,…

Whozu Amfunga Breki Tunda

ANASTAZIA Sebastian Kimaro almaarufu kama Tunda, ni mwanadada mrembo ambaye amekuwa akitambulika kama muuza nyago ‘video vixen’ kwenye video za nyimbo za wasanii wa Bongo Fleva. Tunda ameonekana kwenye video kama Augelina,…

Whozu Tunda hawezi kunisaliti

BAADA ya tetesi kuzagaa kuwa ameonekana hotelini akiwa na mwanaume mwingine mwenye asili ya Kinigeria, mwanamuziki wa Bongo Fleva, Whozu amefunguka kuwa mpenzi wake, Tunda Sebastian hawezi kumsaliti hivyo habari hizo siyo za kweli. …

Tunda Awaka Kuitwa Chuma Ulete

VIDEO vixen asiyeishiwa habari Bongo, Tunda Sebastian amewaka ile mbaya na kuhoji kwa nini watu wanamuita chuma ulete kwani ni jina geni kwake na linatokana na ushirikina kwenye biashara. Tunda anayependa kujiachia kwenye…

TUNDA ANG’AKA KUMWAGANA NA WHOZU

VIDEO Vixen Bongo, Ana Kimario ‘Tunda’ amesema anashangaa kuona watu wakimnanga kwenye mitandao ya kijamii kuwa ameachana na mpenzi wake wa sasa Whozu wakati si kweli. Akizungumza na Amani, Tunda alisema Wabongo siku zote wamekuwa na…

Tunda akiwa penzini ni kujifungia

PENZI ni tamu kama asali! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya video queen, Tunda Sebastian kueleza kuwa akiwa katika mapenzi mazito hatamani kabisa kutembeatembea na mpenzi wake bali kazi yao inakuwa ni moja tu kujifungia ndani.  Tunda…

CASTO AWASHUKIA TUNDA, WHOZU!

MTANGAZAJI wa Clouds TV, Casto Dickson ameibuka na kuwavaa aliyekuwa mpenzi wake; Tunda na jamaa wake wa sasa Whozu kuwa waache kumtajataja katika maisha yao mapya waliyoyaanzisha.  Kwenye ukurasa wake, Casto aliwasema Whozu na Tunda…