The House of Favourite Newspapers

Simba: Tunawapiga Berkane

BARBARA Gonzalez, Mtendaji Mkuu wa Simba SC, amesema wapinzani wao RS Berkane kwenye mchezo unaoatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Jumapili hii, hawatatoka salama. Simba inatarajiwa kumenyana na RS Berkane ya Morocco…

Simba Haizuiliki CAF

MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba, Salim Abdallah Muhene ‘Try Again’ amesema kwa mikakati ya usiri kambini, umoja na ushirikiano uliopo, basi ngumu kutokea timu ya kuwazuia kufuzu hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho…

Zuchu Amuonea Aibu Mondi

PAMOJA na kukanusha kwamba wao si wapenzi, lakini ishara nyingi zinaonesha vingine baina ya mastaa wawili wa muziki wanaowika zaidi nchini Tanzania, Nasibu Abdul almaarufu Diamond Platnumz na msanii wake, Zuhura Othman au Zuchu, IJUMAA…

Zari Ashindwa Kumzima Zuchu

BABY mama wa msanii mkubwa nchini Tanzania, Nasibu Abdul au Diamond Platnumz, mwanamama ZarinahHassan ‘Zari The Boss Lady’, anadaiwa kushindwa kuhimili kishindo cha tetesi za jamaa huyo kutoka kimapenzi na msanii wake, Zuhura Othman…

Wasakwa kwa Kuchana Quran

WATU kadhaa wanaotuhumiwa kuchana kitabu kitukufu cha Dini ya Kiislam, (Quran) hadharani katika maeneo ya Pandani-Mtemani Mkoa wa Kaskazini-Pemba wanasakwa ili sheria ifuate mkondo wake. Akithibitisha habari hizo, Afisa mmoja wa…

Hofu Yatanda Walipo Mastaa Hawa!

MIONGONI mwa sintofahamu inayoendelea ni kutojulikana alipo aliyekuwa staa wa Bongo Movies, Mikalla aliyeng’ara kwenye Filamu ya The Lost Twins akitumia jina la Anita; filamu iliyoandaliwa na aliyekuwa kinara wa tasnia hiyo, marehemu…

We Miss Them!

WE miss them so much (tumewamisi mno)! Ndivyo wasemavyo Watanzania walio wengi wakati huu zikiwa zimesalia takriban siku 20 kumalizika kwa mwaka 2021; mwaka unaoelezwa kutawaliwa na machozi kila kona kutokana na vifo vingi vya viongozi,…

Zuchu Anuka Pesa

STAA mpya wa Bongo Fleva, Zuhura Othman Soud almaarufu Zuchu ambaye kwa sasa anakimbiza na wimbo wake wa Kitu, ameonesha namna anavyonuka pesa baada ya hivi karibuni kuhamia kwenye mjengo wa kifalme, Global Publishers ina exclusive.…