Vifo vya Mama Wajawazito sasa Basi Kata ya Luharanyonga Buchosa
Kutokana na kutokea kifo cha mama mjamzito miaka kadhaa iliyopita kilichosababishwa na ukosefu wa huduma ya afya katika Kijiji cha Iseng'he Kata ya luharanyonga Halmashauri ya buchosa wilayani Sengerema, Serikali imetoa zaidi ya…