BASATA Yawapunguzia Adhabu Wasanii Watatu, Whozu, Bilnass na Mbosso
Baraza la Sana la Taifa (BASATA) limewapunguzia adhabu wasanii watatu, Whozu, Bilnass na Mbosso waliokuwa wamefungiwa na kutozwa faini ambapo sasa watalipa faini kisha ndiyo waruhusiwe kuendelea na kazi zao za sanaa.
Kikao cha…