Msanii wa Bongo Fleva Anayeishi Nchini Uingereza Aachia Goma la Bad Vibes
Iicons ni msanii wa muziki wa kizazi kipya kutoka Tanzania anayeishi nchini Uingereza ambaye anazidi kufanya makubwa katika gemu la muziki nchini Uingereza.
Ngoma yake mpya ya Bad Vibes aliyoiachia siku chache zilizopita, tayari…