Kufuatia ajali ya moto iliyotokea leo Januari 30, ambayo imeathiri jengo la Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) lililopo Kariakoo, mamlaka hiyo sasa imehamishia huduma zake katika jengo la Diamond Plaza, lililopo katika makutano ya…
Mchezo wa Diamonds Sloti ni moja ya michezo yenye thamani kubwa kwenye kasino ambapo washindi wanaopatikana katika mchezo huu wanapiga mishindo ya kutosha kwasasa.
Meridianbet kasino ya mtandaoni kwa kutambua thamani ya madini haya…
Staa wa muziki kutoka nchini Rwanda, Bruce Melodie, ameachia singo yake mpya iitwayo Niki Minaji akiwa amemshirikisha msanii wa Afrika Kusini, Blaq Diamond.
Ni kibao chenye mahadhi ya Amapiano na Afropop ambapo wamefanya vurugu za aina…
JUMA Jux; ni staa kabisa wa muziki wa RnB kutoka nchini Tanzania, ameachia video yake ya wimbo wa 'Ololufe Mi' ambao amemshirikisha Supastaa wa Bongo Fleva na CEO wa Lebo ya WCB, Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz'.
Habari za chinichini zinasema kwamba baada ya kufanya poa kwenye reality show huko Afrika Kusini, Diamond Platnumz ameamua kuingia kwenye ulimwengu wa movie mazima. Kama ni kweli, unahisi atatoboa?#LYIMovie
#LYIMovie
Baada ya Diamond Kuchafua Hali ya Hewa huko Youtube, kwa saa chache na kumtoa marioo na wimbo wake wa #HakunaMatata Marioo ameibuka na kilio chenye kicheko ndani yake...!"Braza anakabia kwa juu🫣🙌.
Ila #HakunaMatata na…
Katibu wa NEC Siasa, Itikadi na Mafunzo CPA. Amos Makalla kesho Jumamosi Julai 6,2024 ananasa ziara ya siku saba mkoani Dar es Salaam.
Taarifa iliyotolewa na ofisi yake imesema kuwa komredi Amos Makalla ataanza ziara hiyo…
Mtangazaji na staa wa mitandaoni na Mkurugenzi wa 7 Media, Baba Levo amefunguka kuwa ameishia elimu ya shule ya msingi na namba saba katika jina la kampuni yake linawakilisha elimu yake aliyoishia.
Safari ya mwisho ya dairekta maarufu wa video za muziki Bongo, Dairekta Khalfan imehitimika katika Makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam.
Mastaa wengi wamejitokeza kwenye mazishi hayo, wengi wakiwa ni aliowahi kufanya nao kazi na…
Maelfu waendelea kujinyakulia tiketi za tamasha la vibe bites ambalo msanii mkali wa Bongo Fleva wa hapa nchini Diamoind Platniumz anatarajiwa kupaform.
Kupata tiketi ya tamasha la vibe bites, mteja wa bia ya Serengeti anatakiwa kununua…
Zuwena wa Mondi amefanya mahojiano na Global Tv na kudai kuwa anampenda sana Juma Lokole na yeye kama mwanamke shupavu tayari alishamfikishia ujumbe huo muhusika mwenyewe.
Zari The Boss Lady ; ni mwanamama tajiri Afrika Mashariki na baby mama wa staa mkubwa wa muziki nchini Tanzania, Diamond Platnumz amesema yupo tayari kuwakutanisha watoto wake na mtoto wa kiume wa Hamisa Mobetto, Dylan, ikiwa…
SUPASTAA wa Bongo Fleva na CEO wa Lebo ya WCB, Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz', ametoa ushari kwa vijana kuwa vijana wenzangu, sina kikubwa cha kuwapa ila kuwasihi kutumia changamoto na kheri za maisha yangu kama moja ya motisha ya…
Mama mzazi wa msanii wa muziki kipya, Hawa Nitarejea @hawanitarejea ameangua kilio mbele ya Global TV baada ya kuelezea kuwa mtoto wake huyo amekuwa akijifungia ndani kwa takribani miezi miwili sasa, akiwa hali chakula vizuri wala mtoto…
Wakati mwaka 2023 ukielekea ukingoni, mtandao wa kustream muziki wa Boomplay, umetoa orodha ya wasanii waliofanya vizuri kwa kusikilizwa zaidi kupitia mtandao huo.
Maudhui ya muziki yaliyopendwa zaidi kwa 2023 kupitia App ya Boomplay ni…
MKALI wa Bongo Fleva kutoka Kundi la Weusi, George Sixtus Mdemu ‘G Nako’ ameachia video ya wimbo wake mpya wa Komando ambao amemshirikisha Diamond Platnumz; ni supastaa wa muziki wa Kizazi Kipya nchini Tanzania .
Msanii wa Diamond Platnumz usiku wa kuamkia leo amewatoa kimasomaso Watanzania baada ya kuibuka mshindi katika Tuzo za MTV EMA katika kipengele cha Best African Act.
Katika kipengele hicho, Diamond alishindanishwa na wasanii wakubwa…
Baunsa aliyewahi kupata umaarufu kwa kumlinda staa wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, Mwarabu Fighter amefunguka mambo mengi kuhusu maisha yake huku akieleza kwamba ana uzito wa kilo 118.
Baada ya uvumi wa muda mrefu kwamba staa wa Bongofleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' ndiye mmiliki wa Kampuni ya Usambazaji wa Muziki ya Ziiki Media, Meneja wa kampuni hiyo, Camilla Owora ametoa ufafanuzi.
Akizungumza na…
Binti mdogo wa Kitanzania anayeishi nchini Italia, anayekuja kwa kasi kwenye gemu la muziki wa kizazi kipya, Namite Liesbeth Selvaggi @dinamite_tz amesema bado ndoto za kukutana na staa wa Bongo Fleva, @diamondplatnumz ziko palepale…
Staa wa kitambo wa Bongo Fleva, Shetta 'Baba Kayla', amefunguka kwamba siyo kwamba anawakataza wasanii wa Bongo Fleva kuimba Amapiano lakini kwa mtazamo wake, muziki huo umekuwa 'too much' kiasi cha kutishia kuipoteza Bongo Fleva.
Shetta…
MKALI wa muziki kutoka kundi la Wasafi, Abdul ‘Lavalava’ ameachia video ya ngoma yake mpya ya Tuna Kikao kamshirikisha bosi wake staa wa Bongofleva, Diamond Platnumz.
STAA wa Bongo Fleva, Juma Jux , ameachia video yake ya 'Enjoy' ambayo kamshirikisha supastaa wa muziki wa Kizazi Kipya nchini Tanzania, Diamond Platnumz.
Msanii aliyejizolea umaarufu kwenye mitandao ya kijamii @chinokidd7 kutokana na kazi zake amefunguka na kuelezea jinsi ambavyo anamkubali msanii Ali Kiba huku akisema kwamba Ali Kiba ni msanii mkubwa ambaye anapendwa na watu wengi na…
Mwalimu aliyepata umaarufu kwa kumfundisha staa wa Bongofleva, Diamond Platnumz Kiingereza, Allen Ngonyani almaarufu Teacher Allen amefunguka kuwa ni rahisi kwa mazingira ya Tanzania mtu kujifunza Kiingereza kwa muda mfupi na kuwa na…
Haina ubishi kwamba kwa sasa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Juma almaarufu Diamond Platnumz anatema ung'eng'e safi kabisa tofauti na kipindi wakati anaanza muziki.
Lakini je, unajua ni nani aliyepo nyuma yake? Mwamba huyu hapa! Anaitwa…
Bosi wa Lebo ya Konde Gang, Rajab Abdul Kahali almaarufu Harmonize au Konde Boy anaonekana kupendezwa mno na anayedaiwa kuwa mpenzi mpya wa bosi wake wa zamani aliyegeuka kuwa hasimu yake mkuu kimuziki, Diamond Platnumz.
Hivi majuzi,…
Mtumishi wa Mungu na mwimbaji mahiri wa muziki wa injili, Christina Shusho amesema staa wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz ni mtu poa sana, msikivu na ambaye muda wote yupo tayari kuwasaidia wengine.
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Susulu Hassan amewateua baadhi ya wasanii wakiwemo Diamond Platnumz, Shilole na wengine kadhaa kuwa wajumbe na mabalozi wa kupambana Ugonjwa wa Malaria.
Uteuzi huo umetangazwa na Waziri…